Msanii wa muziki kutoka Tanzania, Mbosso, ametangaza kuachia remix tatu za wimbo wake maarufu “Pawa”

ROBY MEDIA
0

 Msanii wa muziki kutoka Tanzania, Mbosso, ametangaza kuachia remix tatu za wimbo wake maarufu “Pawa”. Kila remix inamshirikisha wasanii kutoka nchi tofauti:



🇰🇪 Kenya


Bien


Khaligraph Jones


🇹🇿 Tanzania


Gnako


Billnass


Darassa


🇷🇼 Rwanda


The Ben


Ngoma zote zitachia leo usiku saa 6:00 (00:00)


Via Banza Media

Tags

Post a Comment

0 Comments

Post a Comment (0)
3/related/default