Simba tunaitaka fainali ya klabu bingwa Afrika

ROBY MEDIA
0

 

Simba tunaitaka fainali ya klabu bingwa Afrika


Shabiki wa Simba maarufu kwa jina la Mchungaji wa Simba leo katika hamasa za klabu ya Simba amezungumza juu ya nafasi ya Simba katika ligi ya klabu bingwa Afrika na kudai kuwa Simba ya sasa inataka kucheza fainali ya CAF.


Post a Comment

0 Comments

Post a Comment (0)
3/related/default