News Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan leo akizungumza na Wazee wa Dar es salaam, amesema kilichotokea October 29 2025 hakikuwa maandamano bali ni vurugu zilizoandaliwa kwa madhumuni maalum hivyo nguvu iliyotumika kuyadhibiti inaendana na tukio husika.
News Polisi Dodoma "Mtumba police station" inasemeka ndipo alipo Mch. Martini james. John Heche Akiwasiliana na Mch. Mbarikiwa mwakipesile kuhusu taarifa za Mch. Martin James aliyepotea tokea tar 21 Oct 2025 alisema
News Hizi ndio Takwimu za uharibifu wa mali na miundombinu ulifanyika 29 Oktoba katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania.
E-NEWS Jux amnunulia mtoto wake gari aina ya Cybertruck gari hiyo jux amenunua kama zawadi ya kumpatia mtoto wake mala baada ya mtoto huyo kutimiza miezi 3️⃣ tangu kuzaliwa kwake